CUF wamlilia Rais Magufuli
Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa nchini hususani katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.