Gari la Mkuu wa mkoa wa Mara lagongeshwa na mtoto

Gari hilo baada ya kupata ajali

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara RPC Juma Ndaki,  amesema hali ya gari la Mkuu wa Mkoa huo Adam Malima, hairidhishi kabisa hii ni baada ya gari hilo kugongeshwa na mtoto wa dereva na kuharibika vibaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS