Muhimbili yakanusha mgojwa anayejigeuza ndege

Mgonjwa anayedaiwa kujigeuza ndege

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imekanusha juu ya taarifa inayosambaa mitandaoni ikimuonesha mwanamke mmoja mgonjwa anayedaiwa kujigeuza ndege usiku na kurudi kuwa binadamu asubuhi, aliyekamatwa na wagonjwa wenzake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS