Ripoti kamili kuhusu ndege iliyoteketea Mafia leo
Kamanda wa Polisi kanda Maalumu ya Rufiji Onesmo Lyanga, amethibitisha kutokea kwa ajali ya ndege ndogo ya shirika la Tropical, iliyokuwa ikiruka kutoka katika kiwanja cha ndege cha Mafia kuelekea Dar es Salaam.