Fahamu SADC inavyosaidia Tanzania na nchi zingine
Mkuu wa Idara ya Viwanda na ushindani wa Jumuiya ya SADC, Johansein Rutaihwa, amesema wanaendelea kuhakikikish nchi zote 16 wanachama wa SADC zinasaidiwa kuhakikisha zinafikia ukuaji wa uchumi kwa asilimia 7.