Yanga wafafanua tiketi zao kuingiliana na Simba

Dismas Ten (kulia) na baadhi ya viongozi wengine

Uongozi wa klabu ya Yanga umefafanua juu ya mkanganyiko uliojitokeza katika mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi, Agosti 4 ambapo tiketi za mashabiki ziliingiliana na tiketi za mchezo wa watani wao Simba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS