RC aamuru wananchi kurudishiwa pesa zao Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela, ametoa wiki tatu kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza kurudisha fedha za wananchi zilizochangishwa kwa muda wa miaka mitatu bila miradi kutekelezwa. Read more about RC aamuru wananchi kurudishiwa pesa zao