Jeshi la Polisi latoa maelezo kamili ajali ya Moro
Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo Lebaratus Sabas (katikati).
Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo Lebaratus Sabas, ameitaja idadi ya watu waliofariki katika ajali ya gari iliyoanguka nakupelekea kulipuka kwa moto leo Agosti 10, imefikia 62.