Waziri Mkuu atoa tamko kuhusu mikopo

Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESBL), iachane na kasumba ya kuwanyima mikopo baadhi ya wanafunzi kwa kigezo cha kusoma katika shule binafsi bila ya kujiridhisha kama wanatoka kwenye familia zenye uwezo au ziszo na uwezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS