Wizara ya Uchukuzi yatoa tamko ajali Morogoro Eneo la ajali. Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, imepokea kwa masikitiko makubwa ajali ya Lori iliyotokea eneo la Msamvu Mkoani Morogoro na kuwataka watanzania wawe na moyo wa kusaidia badala ya kuhujumu. Read more about Wizara ya Uchukuzi yatoa tamko ajali Morogoro