Kinachoendelea kesi ya kuua na kumchoma moto mke

Mfanyabaishara Khamis Saidy anayekabiliwa na mashtaka ya mauaji akiwa Mahakamani.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo Septemba 10 ilikuwa inaendelea kusikiliza kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Khamis Saidy, anayekabiliwa na mashtaka ya kumuua na kisha  kumchoma moto Mke wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS