"Wachezaji wangu bado wana matatizo" - Zahera Mchezo wa Yanga na Township Rollers Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa wachezaji wake wanakosa maelewano mazuri uwanjani, sababu inayopelekea kutopata matokeo kwenye mechi kubwa. Read more about "Wachezaji wangu bado wana matatizo" - Zahera