Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi Edward Bukombe.
Boti inayomilikiwa na klabu ya starehe ya Yacht jijini Tanga, imepinduka baharini jana jioni Agosti 11, 2019, ikiwa na watu 11 wengi wao wakiwa ni wafanyakazi wa Benki ya NMB Korogwe.