Baada ya kuteuliwa, Jimmy Kindoki awapa onyo Simba
Shabiki na mwanachama kindakindaki wa Yanga ambaye amejizolea umaarufu hivi karibuni mtandaoni, Jimmy Msindo maarufu kama 'Jimmy Kindoki' ameteuliwa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Hamasa ndani ya klabu hiyo.

