Jafo awataka WaTZ kuiombea nchi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Selemani Jafo, amewataka Watanzania kuungana pamoja na kuendelea kuliombea taifa na kumuomba Mungu, atuepushe na majanga kama yanayojitokeza kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS