Makonda kukutana na wadada walioumizwa kimapenzi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amesema Serikali ya Mkoa imejipanga kukutana na wadada wote wa mkoa huo, walioumizwa baada ya kuahidiwa kuolewa na kisha mwanaume kuingia mitini na kuangalia ni njia gani nzuri zaidi ya kuwaokoa na janga hilo.