Waziri aulizwa kuhusu ndege na wajukuu zake

Waziri ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe

Waziri ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, amewataka watanzania wasiwe na hofu kwani Serikali inafanya juhudi kubwa za kuikomboa ndege ya ATCL iliyoshikiliwa nchini Afrika Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS