Mambosasa awapa tahadhari madereva wakaidi Dar
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema jeshi hilo limeshakamata vyombo vya moto takribani 126, pikipiki zikiwa 87, bajaji 13 na na magari 26 yenye ving'ora na taa sumbufu (Spotlight).