Rais Magufuli awasamehe Makamba na Ngeleja

Kutoka kushoto ni January Makamba, Rais Magufuli na William Ngeleja.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo Septemba 4, 2019  amesema ameshawasamehe wambunge January Makamba pamoja na William Ngeleja, kufutia kusikika baadhi ya sauti zilizosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii zikimtukana na kumdhihaki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS