Waziri aeleza 'alivyoibiwa' dakika za simu Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Astashata Nditiye amesema serikali inalishughulikia suala la makato makubwa kwa watumiaji wa mitandao ya simu kutokana na malalamiko mengi yaliyoripotiwa. Read more about Waziri aeleza 'alivyoibiwa' dakika za simu