'Suala la mavazi ya Zahera' lafika Bungeni
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abdallah Mtolea, amehojia kanuni za shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kukagua mavazi ya Makocha wa timu za Ligi, huku kukiwa na kundi kubwa la wachezaji ambao hawana bima.