Aliyefungua kesi ya ndege ya Tanzania apewa adhabu

Ndege ya ATCL

Kufuatia kushikiliwa kwa ndege ya shirika la ndege Tanzania, ATCL kwa zaidi ya wiki moja, huko nchini Afrika Kusini, hatimaye Mahakama Kuu ya Gauteng imeamuru ndege hiyo iachiwe, huku aliyefungua kesi akiamuriwa kulipa gharama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS