Aliyefungua kesi ya ndege ya Tanzania apewa adhabu
Kufuatia kushikiliwa kwa ndege ya shirika la ndege Tanzania, ATCL kwa zaidi ya wiki moja, huko nchini Afrika Kusini, hatimaye Mahakama Kuu ya Gauteng imeamuru ndege hiyo iachiwe, huku aliyefungua kesi akiamuriwa kulipa gharama.