"Hakuna muujiza wa kusogeza magari" - DART

Msemaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo kwa Haraka ( DART) maarufu Mwendokasi, Deus Bugaywa amesema foleni iliyokuwepo leo Agosti 14, katika kituo cha mabasi hayo kilichopo Mbezi Mwisho inatokana na kuwepo kwa foleni kubwa ya magari barabarani hali iliyosababisha mabasi kuchelewa kituoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS