Msomi kizimbani kwa kuomba rushwa ya ngono Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Agosti 14, imemuachia kwa dhamana mhadhiri wa Chuo cha Usafirishaji (NIT) Samson Mahimbo anayekabiliwa na mashtaka ya kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa mwanafunzi wake. Read more about Msomi kizimbani kwa kuomba rushwa ya ngono