NBS yaweka sawa takwimu za kupungua kwa ajira

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imekanusha habari iliyosambazwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii ikieleza taasisi hiyo kukiri sekta ya ajira binafsi kupungua kwa asilimia 42.6% na serikalini zikiwa mepungua kwa asilimia 78.1% ndani ya mwaka mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS