Namthamini yapiga mhuri kwa watu Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akipokea taulo za kike kwaajili ya wanafunzi wa shule ya sekondari Ndono.

Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh. Aggrey Mwanri, ameipokea kampeni ya Namthamini ya East Africa Television na East Africa Radio, ambayo imefanikisha wasichana zaidi ya 1000 kubaki shuleni kwa mwaka mzima kwa kuwapatia taulo za kike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS