Namthamini yapiga mhuri kwa watu Tabora
Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh. Aggrey Mwanri, ameipokea kampeni ya Namthamini ya East Africa Television na East Africa Radio, ambayo imefanikisha wasichana zaidi ya 1000 kubaki shuleni kwa mwaka mzima kwa kuwapatia taulo za kike.