RC azuia likizo za watumishi kwa miezi 3

Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Godfrey Zambi amezuia watumishi wa Serikali kwenda likizo kwa muda wa miezi mitatu, ili kusimamia miradi ya Maendeleo na vitambulisho vya wajasiriamali kwenye maeneo yao, na maandalizi ya mapokezi na uzimaji wa Mwenge wa Uhuru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS