Tulia Ackson aeleza kuhusu kugombea Mbeya Mjini

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson, amesema anampango wa kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa 2020, lakini hajabainisha atagombea jimbo gani, kwa kile alichodai chama chake cha CCM, kinamzuia kutaja jimbo atakalogombea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS