Tulia Ackson aeleza kuhusu kugombea Mbeya Mjini
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson, amesema anampango wa kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa 2020, lakini hajabainisha atagombea jimbo gani, kwa kile alichodai chama chake cha CCM, kinamzuia kutaja jimbo atakalogombea.