Makonda awapa nusu saa watumishi kuhubiri klabu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amewaambia watumishi wa Mungu wenye nia ya kwenda kutoa mahubiri yao katika kumbi za starehe (klabu), wamjulishe kuanzia wiki ijayo ili awape vibali. Read more about Makonda awapa nusu saa watumishi kuhubiri klabu