Warioba aeleza alivyokutana na Rais Mugabe
Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba, amezungumza namna alivyokuwa anamfahamu marehemu Robert Mugabe, ambapo amemtaja kuwa ni miongoni mwa alama za viongozi wa Afrika ambao walipigania uhuru wa nchi zao, licha ya kupitia mateso makubwa kutoka

