Sabaya amtumia salamu Mbowe kuhusu ufalme wa Hai

Mwenyekiti wa CHADEMA  Freeman Mbowe na Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, amemtumia salamu Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA  Freeman Mbowe, kwamba muda wake wa kuendelea kuongoza katika jimbo la Hai umefika ukomo kwa sababu mambo yote waliyokuwa wanayapigia kelele yamekwishashughulikiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS