''Sugu alikuwa  mtu wa Toto nyingi'' - DC Katambi

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Patrobas Katambi.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Patrobas Katambi, amezungumzia mahusiano yake na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu), ambapo amempongeza kwa maamuzi ya kuoa kwa madai ya kwamba ameamua kuchagua tabia njema na si mwonekano wa mtu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS