Mahakama Kuu yatupilia nje maombi ya Lissu

Tundu lissu

Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam,  imetoa maamuzi kesi ya maombi ya kupinga kuvuliwa ubunge iliyokuwa imefunguliwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, kwa kile kilichoelezwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS