Baada ya Yanga, Simba nayo yabadilishiwa ratiba

Kikosi cha Simba

Ikiwa imepita siku moja tangu Bodi ya ligi ibadilishe ratiba ya Ligi Kuu kwa kuondoa mchezo namba 17 wa Yanga na Mbeya City, leo Septemba 9, 2019 Simba nayo imebadilishiwa ratiba yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS