'Lissu alijitakia mwenyewe, acheni kiburi' -Ndugai
Spika wa Bunge la Tanzania, Mh. Job Ndugai amewaonya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuacha tabia ya kuwa na kiburi, ujeuri, kujiamlia mambo bila sababu za msingi ili wasiingie matatizoni bila sababu za msingi.

