Maninja wapigwa pingu NBA

Mchezaji Karl-Anthony Towns wa Minnesota Timberwolves.

Shirikisho linalo simamia mchezo wa Kikapu Amerika Ya Kaskazini (NBA), imetaarifu mpango wake wa kupiga marufuku uvaaji wa vitambaa kichwani (Headbands) kwa staili ya kininja kwa msimu unaokuja wa mwaka 2019-20.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS