Jambo atakaloanza nalo bosi mpya Simba

Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Senzo Mazingiza

Afisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu ya Simba, Senzo Mazingiza amebainisha wazi kuwa atahakikisha klabu hiyo inafanya usajili wa kitaalamu katika dirisha dogo Desemba ili kuiwezesha klabu hiyo kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS