Jambo atakaloanza nalo bosi mpya Simba
Afisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu ya Simba, Senzo Mazingiza amebainisha wazi kuwa atahakikisha klabu hiyo inafanya usajili wa kitaalamu katika dirisha dogo Desemba ili kuiwezesha klabu hiyo kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara.

