Rais Shein aumizwa na walimu

Kulia ni Waziri wa Elimu Riziki Pembejuma, Katikati Rais Shein na pembeni ni Mwanafunzi aliyefanya vizuri.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ametoa onyo kali kwa walimu wenye tabia ya kuwachezea wanafunzi na kuwataka wazingatie maadili ya kazi, kwani kazi ya ualimu inafanywa na watu wenye heshima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS