Wanane waokolewa baada ya kufukiwa na kifusi
Takribani watu wanane kati ya 10 ambao ni wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Shilalo ulioko katika Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, wameokolewa wakiwa hai, baada ya kufukiwa na kifusi.

