Wanane waokolewa baada ya kufukiwa na kifusi

Picha haihusiani na tukio halisi lililotokea

Takribani watu wanane kati ya 10 ambao ni wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Shilalo ulioko katika Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, wameokolewa wakiwa hai, baada ya kufukiwa na kifusi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS