'Nape alikuwa anatuma meseji usiku saa 8' - JPM

Rais Magufuli (kulia) na Nape Nnauye (kushoto).

Mbunge wa Mtama Mkoani Lindi Nape Nnauye, amemuomba msamaha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, hii ikiwa ni miezi kadhaa imepita tangu kusikika kwa sauti yake na viongozi wengine wa siasa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zenye maneno yasiyofaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS