Mtoto wa miaka 12 ajinyonga

Mtoto wa Darasa la nne katika Shule ya Msingi  Osanyui aitwaye Elibariki Lekine, mkazi wa Murieti Mkoani Arusha, amekutwa amefariki dunia kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani katika nyumba ambayo inaendelea na ujenzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS