Baada ya msamaha wa Rais, Ngeleja aongea William Ngeleja Mbunge wa Sengerema William Ngeleja amesema kuwa, amefurahishwa na hatua za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli za kumsamehe yeye pamoja na wabunge wengine. Read more about Baada ya msamaha wa Rais, Ngeleja aongea