Instagram wamchangia pesa Rais Magufuli

Rais Magufuli

Wakili wa  kujitegemea Albert Msando, amekabidhi kiasi cha Shilingi milioni tano kama mchango wa kumsaidia kumlipia deni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, alilokuwa  anadaiwa na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS