Meya CHADEMA DSM, 'hatarini' kupoteza Umeya
Baadhi ya Madiwani wa Jiji la Dar es salaam wamesaini hoja ya kumtuhumu juu ya matumizi mabaya ya ofisi ya Umma Meya wa Jiji la Dar es salaam, Isaya Mwita, huku mwenyewe akihitajika kuwasilisha utetezi wake kesho Septemba 13, 2019.
