Kocha wa Simba atoa maelezo

Kocha wa Simba Patrick Aussems

Kuelekea mchezo wa marejeano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kati ya Simba dhidi ya UD Songo ya Msumbiji, kocha wa Simba Patrick Aussems amesema wanajua wanatakiwa kushinda na watafanya hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS