Waliozembea ajali ya Morogoro kuadhibiwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka husika ziwachukulie hatua za kinidhamu watu ambao hawakutekeleza majukumu yao katika tukio la ajali ya moto, iliyotokea Agosti 11, 2019 mkoani Morogoro, na kusababisha vifo vya watu 104.

