Viongozi wanne wa ACT mkoa na taifa wakamatwa

Bendera ya ACT Wazalendo

Viongozi wanne wa Chama cha ACT Wazalendo akiwemo Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma Taifa Ado Shaibu, wamekamatwa na Jeshi la Polisi Wilayani Temeke kwa kile kilichoelezwa walikuwa wanafungua matawi bila kuwa na kibali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS