'Hata wasingefunga isingebadilisha kitu' - Zahera Wachezaji wa Yanga na Zesco kwenye mechi ya leo Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera, amesema kitendo cha Zesco United kusawazisha hakijabadili chochote kwa timu yake kwani hata kama wangeshinda leo bado wangehitajika kufunga goli ugenini. Read more about 'Hata wasingefunga isingebadilisha kitu' - Zahera