'Man of the Match' azawadiwa AK-47

Kipa Saveli Kononov wa timu ya Izhstal Izhevsk(23), nchini Urusi, amepewa zawadi ya silaha aina ya AK-47 baada ya kuibuka mchezaji bora wa mechi, walipocheza dhidi ya Chelmet Chelyabinsk.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS