Rais wa Uganda kuwasili nchini kibiashara

Rais wa Uganda Yoweri Museveni (kulia) na Rais Magufuli (kushoto)

Rais wa Uganda Yoweri Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania  mapema mwa mwezi Septemba, ambapo atakutana na kufanya majadiliano ya fursa za uwekezaji miongoni mwa nchi hizo mbili na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS