Olesendeka apangua maagizo ya Halmashauri

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole - Sendeka

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole - Sendeka ametengua katazo la Halmashauri ya mji wa Njombe, lililopiga marufuku mabasi ya abiria, kushusha katikati ya mji kwa madai ya kwamba katazo hilo linawaumiza wananchi wa hali ya chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS