''Ni wivu tu na kelele za chura' - Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameonesha ni namna gani alishangazwa na Mkulima aliyeishikilia Ndege ya ATCL kwa mamlaka ya Mahakama kuu ya Afrika Kusini, kwa kile alichokieleza ni wivu tu.

