CHADEMA yahisi kufanyiwa mchezo mchafu

Bendera ya CHADEMA

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano  wa  CHADEMA Tumaini Makene,  amesema kuwa madiwani wa Halmashauri ya Ubungo hawajagomea mkutano wa baraza hilo  bali wamehisi kuna mchezo mchafu unaofanywa na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kwa kushindwa kumuapishwa Diwani wa viti maalumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS